WADAU WAHAMASISHWA MATUMIZI YA NISHATI SAFI
Wadau wahamasishwa matumizi ya nishati safi. Katika kuelekea mapinduzi ya kijani na maendeleo ya kijamii nchini Tanzania, suala la nishati limekuwa nguzo kuu.Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, ametoa wito mzito kwa wadau na waandaaji wa majukwaa ya wanawake nchini kuweka nguvu zao katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Akizungumza katika maadhimisho ya…
