SIRI YA BoT KUUZA ZIADA YA DHAHABU
Siri ya BoT kuuza ziada ya Dhahabu.Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii na mitaani nchini Tanzania kuhusu hatua ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutaka kuuza sehemu ya dhahabu yake. Je, ni kweli fedha hizi zinakwenda kufadhili miradi ya kimkakati kama SGR au Bwawa la Mwalimu Nyerere? Ili…
