RAIS MWINYI AONGEZA NGUVU DIPLOMASIA UCHUMI
Rais Mwinyi aongeza nguvu Diplomasia Uchumi .Jitihada za kuendelea kuimarisha nafasi ya Tanzania katika ramani ya kimataifa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa mwongozo mzito kwa wawakilishi wa nchi nje ya mipaka. Tukio hili la kihistoria lililofanyika Ikulu ya Zanzibar leo tarehe 08 Aprili 2026, limebeba ujumbe…
