Pesa Tu Social Media Post 2025 42

TRA,SSRA WAANZISHA MAPINDUZI YA KODI NA BIASHARA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeingia katika ukurasa mpya wa kihistoria baada ya kutangaza mpango kabambe wa kuimarisha mahusiano ya kikazi na Mamlaka ya Mapato ya Sudan Kusini (SSRA). Hatua hii inatarajiwa kuwa mhimili mkuu wa mabadiliko ya kiuchumi, ikilenga zaidi maeneo ya ukusanyaji wa maduhuli ya serikali, ulinzi wa mipaka ya kibiashara, na ubadilishaji…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 39

HATUA KALI KWA MAAFISA MADINI WANAOSABABISHA MIGOGORO

Hatua kali kwa maafisa madini wanaosababisha migogoro. Katika hali inayolenga kuleta nidhamu na uwajibikaji ndani ya sekta ya madini nchini Tanzania, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ametoa onyo kali kwa Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa (RMOs). Akizungumza jijini Dodoma leo, Januari 22, 2026, Waziri Mavunde ameweka wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Sita haitavumilia mtumishi…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 38

MIAKA 10 BILA MABADILIKO YA BEI YA UMEME TANZANIA

Miaka 10 bila Mabadiliko ya bei ya umeme Tanzania.Katika kipindi ambacho uchumi wa dunia umekuwa ukikabiliwa na mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali,kwani gharama za umeme Tanzania zimebaki kuwa thabiti na nafuu kwa kipindi cha muongo mmoja sasa. Hii ni hatua ya kimkakati inayolenga kumlinda mwananchi wa hali ya chini na kukuza viwanda. Mnamo Januari…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 37

TANZANIA NA MAREKANI KUSHIRIKIANA SEKTA YA MADINI

Tanzania na Marekani kushirikiana sekta ya Madini.Katika hatua kubwa inayolenga kubadilisha mwelekeo wa uchumi wa viwanda nchini, juhudi za Tanzania na Marekani kuimarisha ushirikiano katika sekta ya madini zimeingia katika awamu mpya na ya kusisimua. Januari 21, 2026, jiji la Dodoma limekuwa kitovu cha mazungumzo muhimu yaliyolenga kuongeza tija, ajira, na mchango wa madini ya…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 30

SERIKALI INAVYOJIPANGA UTEKELEZAJI WA UMEME VIJIJINI

Serikali inavyojipanga utekelezaji wa Umeme vijijini.Katika jitihada za kuhakikisha adhma ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kufikisha nishati ya umeme kwa kila mtanzania inatimia,Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekuja na mkakati mpya wa usimamizi. Mkurugenzi Mkuu wa REA,Hassan Saidy, ametoa mwongozo thabiti kwa wahandisi na wasimamizi wa miradi wa mikoa ili kuharakisha utekelezaji wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks