TRA,SSRA WAANZISHA MAPINDUZI YA KODI NA BIASHARA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeingia katika ukurasa mpya wa kihistoria baada ya kutangaza mpango kabambe wa kuimarisha mahusiano ya kikazi na Mamlaka ya Mapato ya Sudan Kusini (SSRA). Hatua hii inatarajiwa kuwa mhimili mkuu wa mabadiliko ya kiuchumi, ikilenga zaidi maeneo ya ukusanyaji wa maduhuli ya serikali, ulinzi wa mipaka ya kibiashara, na ubadilishaji…
