UBIA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI SIRI YA MAFANIKIO
Katika kuelekea mabadiliko makubwa ya kiuchumi duniani, Tanzania imechukua hatua madhubuti za kimkakati kuhakikisha rasilimali zake na mashirika yake yanatoa tija iliyokusudiwa. Moja ya nyenzo kuu iliyotumika kufikia ufanisi huu ni Ushirikiano wa Serikali na Sekta Binafsi. Huu si uamuzi wa bahati mbaya, bali ni mkakati uliopangwa kwa ustadi na Ofisi ya Msajili wa Hazina…
