Pesa Tu Social Media Post 2025 51

SERIKALI YATAMBUA MCHANGO WA KAMAL GROUP KIVIWANDA

Serikali yatambua mchango wa Kamal Group kiviwanda.Sekta ya viwanda nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa katika kipindi hiki ambacho Serikali ya Awamu ya Sita imeweka msisitizo wa dhati katika kuimarisha uchumi wa viwanda. Katika hatua ya hivi karibuni ya kuonyesha utayari wa Serikali kusaidia sekta binafsi, Waziri wa Viwanda na Biashara,Judith Kapinga, amefanya ziara ya…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 49

TANTRADE KUIFANYA Z’BAR KUWA DUBAI YA AFRIKA

Tantrade kuifanya Z’bar kuwa Dubai ya Afrika.Katika harakati za kuimarisha uchumi wa viwanda na kukuza biashara za ndani, Serikali imedhamiria kwa dhati kufungua milango ya kibiashara duniani. Hivi karibuni, Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ametoa mwelekeo mpya unaolenga kubadilisha namna watanzania wanavyozitazama fursa za biashara na uwekezaji Tanzania. Akizungumza jijini…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 47

TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA UINGEREZA

Tanzania yafungua milango kwa wawekezaji wa Uingereza.Katika hali inayozidi kuimarisha diplomasia ya kiuchumi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametoa rai kwa jumuiya ya kimataifa akisisitiza kuwa fursa za uwekezaji Tanzania ni salama na zenye tija kuliko wakati wowote. Akizungumza jijini London nchini Uingereza, Prof. Mkumbo amebainisha kuwa…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 46

TANZANIA,KOREA KUSINI KUSHIRIKIANA MRADI WA BIL 40

Sekta ya madini nchini Tanzania imeingia katika kurasa nyingine katika jitihada za kuhakikisha rasilimali za nchi zinawanufaisha Watanzania kwa usahihi na tija. Serikali ya Tanzania imetangaza kuanzishwa kwa kituo cha kisasa kitakachozingatia Teknolojia ya Madini Muhimu. Hatua hii ni sehemu ya mkakati mpana wa “Madini Vision 2030” unaolenga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha madini mkakati…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 44

MAPINDUZI MAKUBWA UWEZESHAJI MITAJI WACHIMBAJI WADOGO

Mapinduzi Makubwa Uwezeshaji Mitaji wachimbaji wadogo.Sekta ya madini nchini Tanzania imekuwa mhimili mkuu wa uchumi wa taifa kwa miaka mingi. Hata hivyo, changamoto ya ukosefu wa vifaa vya kisasa na mitaji ya uendeshaji imekuwa kikwazo kikubwa kwa wachimbaji wadogo. Katika hatua ya kihistoria, Wizara ya Madini imetangaza mapinduzi makubwa uwezeshaji mitaji kwa wachimbaji wadogo, hatua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks