TANZANIA KUNUFAIKA NA NICKEL YA KABANGA
Tanzania kunufaika na Nickel ya Kabanga . Sekta ya madini nchini Tanzania inapitia kipindi cha mageuzi makubwa ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangu uhuru. Katika kitovu cha mageuzi haya, kuna mradi mmoja ambao unatazamwa kama mkombozi wa kiuchumi na injini ya viwanda: Mradi wa Kabanga Nickel. Hivi karibuni, hatua nyingine kubwa imepigwa baada ya Msajili wa Hazina,Nehemiah…
