AIRTEL YAENDELEA KUNOGESHA MALIPO YA KIDIJITALI
Airtel yaendelea kunogesha malipo ya kidijitali. Airtel Money Tanzania imeendelea kuleta tabasamu kwa wateja wake nchini baada ya kumtangaza mshindi wa tatu wa gari jipya aina ya Mazda CX-5 kupitia kampeni ya kabambe ya “Mwaka Umenyooka na My Airtel Money App.” Mshindi huyo, Jogrey Pascal Paul, ambaye ni Mwalimu wa Jiografia katika Shule ya Sekondari…
