MAGEUZI SIKU 100 ZA RAIS SAMIA SEKTA YA NISHATI,UMEME
Mageuzi siku 100 za Rais Samia Sekta ya Nishati,Umeme. Sekta ya nishati nchini Tanzania imepata msukumo mpya na wa kihistoria katika kipindi hiki cha mwanzo wa muhula wa pili wa uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Katika kutathmini Siku 100 za Rais Samia tangu kuanza kwa kipindi hiki kipya, Kamati ya Kudumu ya Bunge…
