Pesa Tu Social Media Post 2025 72

MAPINDUZI YA KILIMO NA UFUGAJI MAGEREZA TANZANIA

Mapinduzi ya Kilimo na Ufugaji magereza Tanzania. Katika kile kinachoonekana kama hatua kubwa ya mageuzi ya kiuchumi nchini Tanzania, Serikali imetangaza mkakati mpya wa kuimarisha kilimo na ufugaji Magereza. Hatua hii si tu inalenga kuzalisha chakula kwa ajili ya wafungwa, bali pia kugeuza maeneo yanayomilikiwa na Jeshi la Magereza kuwa mashamba darasa na vituo vikuu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks