MAPINDUZI YA HUDUMA ZA KIBENKI YANAVYOBADILI MAISHA
Mapinduzi ya huduma za Kibenki yanavyobadili maisha. Katika ulimwengu wa sasa unaokwenda kasi, matumizi ya teknolojia yamekuwa nguzo kuu ya maendeleo ya kiuchumi. Benki ya Absa Tanzania, ikiwa mstari wa mbele katika mabadiliko haya, hivi karibuni imehitimisha kampeni yake kabambe ya “Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa”. Hafla hiyo ya kusisimua haikuwa tu ya…
