Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania pesatu.com

Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, amefanya ziara katika makao makuu ya kampuni za Ericsson na Siemens Energy za Sweden kujadiliana kuhusu kuongeza uwekezaji na kuendelea kuleta teknolojia zao nchini. Balozi Matinyi aliitembelea kampuni ya Ericsson Septemba 02, 2025, jijini Stockholm na kuzungumza na viongozi na wataalam wao wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera za…

Soma Zaidi
Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu pesatu.com

Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu

Uuzaji wa miwani kiholela umeshamiri katika maeneo mengi nchini husasani mijini. Miwani hizo nyingi zikiwa ni zile zinazotajwa kuwa ni miwani za urembo. Mbali na kumsababishia madhara mtumiaji anayetumia miwani pasipo kuipima na kupima macho yake, pia mtu yeyote anayejihusisha na biashara ya miwani anatakiwa azingatie sheria ya Optometria sura namba 23 ikiwemo kusajiliwa katika…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 08 18 at 4.40.27 PM

Wataalam wa kusimamia Bajeti ya Serikali wameagizwa kutumia mafunzo ya Mfumo ulioboreshwa

Wataalam wa wanaoandaa na kusimamia Bajeti ya Serikali wameagizwa kutumia mafunzo ya Mfumo ulioboreshwa wa Uandaaji na Usimamizi wa Bajeti (CBMS), kuboresha utendaji kazi katika usimamizi wa uandaaji na utekelezaji wa Bajeti ya Serikali. Agizo hilo limetolewa jijini Dodoma na Kamshina wa Bajeti, Wizara ya Fedha, Meshack Anyingisye wakati akifungua mafunzo ya Mfumo wa CBMS…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks