NMB yazindua programu ugawaji mizinga ya nyuki
Benki ya NMB imezindua programu ya ugawaji Mizinga ya Nyuki ambapo imeanza na mizinga 500 kwa Mikoa mitatu ya Morogoro, Tabora na Njombe. Program hiyo inalenga kusaidia jamii zilizozungukwa na rasilimali misitu na wanyamapori, kujipatia kipato mbadala ili kupunguza utegemezi wa kipato unaotokana na uvunaji ovyo wa misitu kwenye maeneo ya hifadhi. Taarifa ya NMB…
