UWEKEZAJI DP WORLD WAVUNJA REKODI UFANISI NA MAPATO
Uwekezaji DP WORLD wavunja rekodi ufanisi na Mapato . Katika kipindi cha hivi karibuni, sekta ya uchukuzi nchini Tanzania imeshuhudia mabadiliko makubwa ambayo hayajawahi kutokea tangu uhuru. Kiini cha mabadiliko haya ni uwekezaji wa DP World Bandari ya Dar es Salaam, hatua ambayo imeleta mageuzi ya kiteknolojia, kimfumo, na kiuchumi. Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame…
