Majaliwa: ACTIF 2025 itoe majibu biashara, uwekezaji pesatu.com

Waziri Mkuu ataka ACTIF 2025 kutoa majibu changamoto za kibiashara, uwekezaji

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Jukwaa la Nne la Biashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (ACTIF) linapaswa kuja na majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji zinazoyakabili mataifa ya Afrika na yale ya eneo la Karibiani. Amesema kuwa changamoto hizo zinapaswa kujadiliwa kwa uwazi na kutaja bayana vikwazo vyote vinavyosababisha kutofanyika kwa…

Soma Zaidi
Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

Jinsi unavyoweza kupata mkopo wa milioni 50 kwa biashara yako ndogo Tanzania

Pesa zako, biashara yako: Jinsi unavyoweza kupata mkopo wa milioni 50 kwa biashara yako ndogo Tanzania Je? Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu? Je, una ndoto ya kuongeza bidhaa, kununua mashine mpya, au kupanua soko lako, lakini kiasi cha Shilingi Milioni 50 kinaonekana kuwa mlima mrefu kupanda? Usife…

Soma Zaidi
Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri pesatu.co.tz

Vitu vya kuzingatia katika biashara ya vifaa vya ujenzi

Kila siku watu wanajenga huku wengine wakiziboresha nyumba zao. Ni rahisi kupata mafanikio makubwa kupitia biashara ya vifaa vya ujenzi maarufu kama “Hardware” vilevile ni rahisi kwa biashara hiyo kufa ikiwa mfanyabiashara hana mpango madhubuti wa kuifikisha mbali. Ikiwa unataka kufanikiwa katika biashara hii ni muhimu kuzingatia yafuatayo: Soko Ni muhimu kuelewa soko kabla ya…

Soma Zaidi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wawekezaji nchini Japan.

Tanzania yaendelea kuishawishi Japan kuwekeza nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameendelea kuwashawishi wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta mbalimbali kwani Serikali imeshaboresha mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji. Amezitaja sekta hizo kuwa ni pamoja na kilimo, afya, uchumi wa buluu, nishati, miundombinu, ufugaji na TEHAMA. Waziri Mkuu ameyasema hayo Mei 28, 2025 alipokutana kwa nyakati tofauti na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks