TANTRADE KUIFANYA Z’BAR KUWA DUBAI YA AFRIKA
Tantrade kuifanya Z’bar kuwa Dubai ya Afrika.Katika harakati za kuimarisha uchumi wa viwanda na kukuza biashara za ndani, Serikali imedhamiria kwa dhati kufungua milango ya kibiashara duniani. Hivi karibuni, Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ametoa mwelekeo mpya unaolenga kubadilisha namna watanzania wanavyozitazama fursa za biashara na uwekezaji Tanzania. Akizungumza jijini…
