Vijana achaneni na miradi ya kawaida: Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza vijana wawe na fikra za mageuzi ya kiuchumi kwa kubuni na kuanzisha miradi badala ya kusubiri kuajiriwa au kutaka utajiri wa haraka. Akizingumza wakati wa kuhitimisha matembezi ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar amewataka vijana kuja na mawazo mapya ambayo…
