Serikali kutunga Sera ya kampuni changa za ubunifu
Serikali imesema ina mpango wa kutunga Sera ya Kampuni Changa za Ubunifu (startups) ili kulinda kazi za ubunifu nchini. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Nape Nnauye amesema hayo Agosti 14, 2023 jijini Dar es Salaam. “Sababu ya kuja hapa ni kwa sababu hii sekta inakuwa, takwimu zinaonesha kwamba kuna ongezeko kubwa sana la asilimia…
