Mradi wa REGROW wataka eneo kubwa la uwekezaji
Msimamizi wa Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) Dkt. Aenea Saanya ameushauri Uongozi wa Kijiji cha Tungamalenga kutafuta eneo lenye ukubwa wa zaidi ya hekta 5 linalomilikiwa na Serikali ya Kijiji hicho kwa ajili ya kuanzisha manzuki. Kupatikana kwa eneo hilo kutafanya mradi huo kuwa endelevu na utakaosaidia…
