Serikali ya Tanzania yawekeza bilioni 25.7 utafiti, ubunifu na maendeleo ya teknolojia
Katika kipindi cha miaka minne ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali kupitia Tume ya Taifa Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imewekeza sh bilioni 25.7, kwa ajili ya kufanya utafiti, ubunifu na maendeleo ya teknolojia katika maeneo mbalimbali. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH Dkt. Amos Nungu jijini Dodoma Machi 17, 2025, wakati akitaja mafanikio…
