ADO SHAIBU ACHAGULIWA KUONGOZA KAMATI YA LAAC
Ado Shaibu achaguliwa kuongoza Kamati ya LAAC,Mabadiliko ya kiuongozi ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yameendelea kushika kasi, huku safari hii macho na masikio yakielekezwa katika moja ya kamati zenye meno na ushawishi mkubwa zaidi. Wajumbe wa Kamati ya LAAC (Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa) wamemchagua…
