BOT YABAKIZA RIBA YA BENKI KUU YA 5.75% KWA ROBO YA KWANZA 2026
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeamua kubakiza Riba ya Benki Kuu (CBR) katika kiwango cha asilimia 5.75 kwa robo ya kwanza ya mwaka 2026, hatua inayolenga kudumisha utulivu wa bei na kuendelea kuchochea ukuaji wa shughuli za kiuchumi nchini. Uamuzi huo umefikiwa katika kikao cha Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) kilichofanyika tarehe 7 Januari…
