Pesa Tu Social Media Post 2025 14

USHIRIKIANO WA PIC KUIMARISHA MAGEUZI YA UWEKEZAJI

Ushirikiano wa PIC kuimarisha mageuzi ya Uwekezaji,Katika hatua inayotajwa kuwa ni mwanzo wa zama mpya za kiuchumi nchini Tanzania, Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinawanufaisha wananchi kwa tija zaidi. Leo, Januari 15, 2026, jijini Dodoma, mji mkuu wa Serikali, kumefanyika semina ya kihistoria iliyowakutanisha wadau…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 18 at 11.45.40

Uzalishaji miche ya mkonge kwa chupa kufikia milioni 10

Serikali imepanga kuzalisha miche milioni kumi kwa njia ya teknolojia ya chupa (Tissue Culture) kupitia maabara ya kisasa inayojengwa katika Kituo cha Utafiti TARI Mlingano, Wilaya ya Muheza, Tanga. Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde amebainisha hayo alipotembelea kituo cha TARI Mlingano na kukagua maendeleo ya ujenzi wa maabara hiyo. “Mahitaji ya miche ya mkonge…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks