WhatsApp Image 2023 08 22 at 12.20.02

Tanzania, Indonesia zasaini mikataba saba

Serikali ya Tanzania imeridhia uamuzi wa Serikali ya Indonesia kufufua shughuli za Kituo cha Mafunzo ya Kilimo kwa Wakulima (FARTC) kilichopo Mkindo mkoani Morogoro. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo wakati akizungumza na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Indonesia Joko Widodo aliyepo nchini kwa ziara ya kikazi. Rais Samia amesema kituo hicho kilianzishwa mwaka…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 20 at 13.09.25

Taasisi ya kifedha ya Uingereza kuwekeza Tanzania

Waziri wa Fedha Dkt. ameikaribisha Taasisi ya kifedha ya Uingereza inayojihusisha na uwekezaji (British International Investment) kufanya uwekezaji nchini katika sekta mbalimbali za maendeleo ikiwemo ya nishati. Dkt. Nchemba ametoa wito huo alipokutana na kufanya majadiliano na ujumbe wa British International Investment, katika Ofisi ya Hazina, jijini Dar es Salaam ambapo wameangazia mambo mbalimbali ya ushirikiano…

Soma Zaidi
Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Watanzania watakiwa kuwa na uthubutu

Watanzania wametakiwa kuwa na uthubutu wa kufanya biashara na kuwekeza katika maeneo mbalimbali badala ya kutegemea watu kutoka nje ya nchi katika uwekezaji. Ally Dahal, ambae ni Mkurugenzi wa Jochata Vocational Centre ametoa wito huo katika maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa, Sabasaba jijini Dar es Salaam. “Watanzania wengi hawana uthubutu wa kuanzisha biashara,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 05 at 16.47.55

Wabunge wataka Maliasili iongezewe bajeti

Wabunge wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mapinduzi makubwa yanayofanywa hivi sasa na kutaka wizara hiyo iongezewe bajeti ili iweze kufanya vizuri zaidi katika mwaka wa fedha 2023/24. Baadhi ya wabunge waliochangia hotuba ya Wizara ya Maliasili na Utalii, ni Mbunge wa viti maalum Njombe (CCM) Neema Mgaya ameitaka Serikali kuangalia namna ya kurudisha…

Soma Zaidi
weweee

Ndege 4 kuwasili ifikapo 2024

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema ndege nne zinatarajiwa kuwasili nchini ifikapo Februari, 2024. Prof Mbarawa amesema hayo wakati akiwasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ya Wizara hiyo. “Miongoni mwa maeneo muhimu ambayo Serikali imeendelea kutekeleza katika uimarishaji wa ATCL ni pamoja na kuendelea…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks