WhatsApp Image 2024 08 21 at 12.43.25

Serikali ya Tanzania inaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, kodi: Mwigulu

Waziri wa Fedha Dkt.Mwigulu Nchemba ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa na Watanzania kwa ujumla kwamba Serikali inaendelea kuweka na kuboresha mazingira ya uwekezaji ikiwemo kuboresha mifumo yake ya kodi. Dkt. Nchemba ameyasema hayo Agosti 20, 2024 katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, Jijini Dar es Salaam, wakati akiagana na Balozi wa Uswisi aliyemaliza muda wake…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 22 at 12.59.57

Hifadhi ya msitu asilia Matogoro ni utajiri na fursa iliyofichika ya kiutalii mikoa ya Kusini

Hifadhi ya Msitu Asili Matogoro yenye mandhari ya kuvutia ni kichocheo adhimu na muhimu cha kukuza utalii katika mikoa ya kusini hususan mkoa wa Ruvuma. Hifadhi hiyo imebeba hazina kubwa ya kihistoria ikiwemo uwepo wa mapango makubwa yaliyotumika wakati wa vita ya majimaji. Haya yamebainishwa na Naibu waziri wa maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipofanya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 17 at 12.35.28

Rais Samia aahidi kufanya “Royal Tour” kuitangaza hifadhi ya Katavi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kufanya filamu nyingine ya Royal Tour katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi baada ya kujionea wanyamapori mbalimbali katika Hifadhi hiyo. Dkt. Samia ameyasema hayo Julai 15, 2024 wakati akizungumza na wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Mkoani Katavi. Kauli hiyo inafuatia ombi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks