Tanzania ndio eneo maridhawa zaidi kwa utalii wa safari duniani
Hatimaye baada ya mchuano mkali Tanzania imeibuka kuwa eneo linaloongoza zaidi duniani kwa utalii wa safari (hasa za kuona wanyama wa porini) ikiyashinda mataifa mbalimbali duniani ikiwemo nchi za Afrika. Hii ni kwa mujibu wa Tuzo za Utalii Duniani (World Travel Awards) zilizotolewa usiku wa kuamkia Novemba 24, 2024 kisiwani Madeira, Ureno. Zikitambulika kuwa sawa…
