MIAKA 10 BILA MABADILIKO YA BEI YA UMEME TANZANIA
Miaka 10 bila Mabadiliko ya bei ya umeme Tanzania.Katika kipindi ambacho uchumi wa dunia umekuwa ukikabiliwa na mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali,kwani gharama za umeme Tanzania zimebaki kuwa thabiti na nafuu kwa kipindi cha muongo mmoja sasa. Hii ni hatua ya kimkakati inayolenga kumlinda mwananchi wa hali ya chini na kukuza viwanda. Mnamo Januari…
