WhatsApp Image 2022 02 25 at 3.11.55 PM

Ngorongoro live Dubai

Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inaonekana mubashara (live) kwenye maonesho ya utalii ya Exp2020 Dubai. Waziri wa Maliasili na Utallii, Dkt. Damas Ndumbaro amepongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa namna inavyotangaza vivutio vya Utalii kwa njia kidigitali kupitia Ngorongoro Live  Streaming  (Matangazo mubashara kutoka Ngorongoro). Amesema hali hiyo ya Ngorongoro Streaming Live kwenye…

Soma Zaidi

Biashara za mtaji mdogo, suluhisho la vijana kujiajiri

Wakati sera kuu ya Tanzania ni vijana na wanawake kujiajiri, upatikanaji mgumu wa mtaji unazuia maendeleo. Serikali imefanya mengi ili kuongeza upatikanaji wa mtaji kwa makundi maalum kama wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, hata hivyo mengi zaidi yanahitajika kufanywa. Hadi sasa, serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania imerahisisha mahitaji ya ukopaji kwenye mabenki na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 24 at 4.58.27 PM

Bilioni 200 kwa ajili ya machinga

Benki ya NMB imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 200 kwa ajili ya kuwapa mikopo wamachinga. Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi amesema wameingia mkataba na wamachinga ambapo mbali na mikopo hiyo, benki hiyo pia itawapa mafunzo ya kifedha. “Kupitia ujuzi tulionao tutakuwa tukitoa mafunzo kwa machinga, benki yetu ina uzoefu mkubwa…

Soma Zaidi
mmmm

Waziri Nape: kama unaamini umeibiwa kifurushi leta ushahidi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwamba uchunguzi uliofanya na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) umebaini kuwa hakuna wizi wa vifurushi vya mawasiliano ya simu unaofanywa. Waziri Nape amesema, kuna changamoto mbili kubwa kwenye matumizi ya simu janja ambapo, kwanza, mtumiaji anaweza kujiunga kifurushi cha intaneti, licha ya kuwa hatumii…

Soma Zaidi
mkoo

Naibu Waziri atamani kilimo kiwanufaishe wakulima

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amefanya ziara ya kikazi mkoani Tanga ambapo amezungumza Menejimenti ya Bodi ya Mkonge Tanzania baada ya kukagua ukarabati wa jengo la ofisi ya Bodi hiyo. “Natamani kuwaona wakulima nchini wakinufaika kwa kazi wanayoifanya”, amesema Naibu Waziri. Mavunde amesema Serikali ina malengo ya kukuza uchumi wa kaya na uchumi wa…

Soma Zaidi
anaa

Vijana 470 waitwa uhamiaji

Vijana 470 wamechaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji kwa nafasi ya konstebo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumamosi Februari 12, 2022 na Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Mrajibu Paul Msele imesema vijana waliochaguliwa kujiunga wanatakiwa waripoti katika chuo cha uhamiaji kilichopo Boma Kichakamiba Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Februari 19, 2022. Idara ya uhamiaji…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 04 at 2.36.32 PM

Waziri ataja sababu daraja la Tanzanite kutumika bure

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema daraja la Tanzanite Watanzania hawalipi na hawatalipa kwa sababu limejengwa kwa 100% kwa pesa ya serikali. Waziri Mbarawa amebainisha kuwa fedha hizo ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Korea Kusini ambazo zitalipwa na Serikali ya Tanzania kwa asilimia zote. “Daraja la Kigamboni utaratibu uliotumika ni tofauti,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks