WhatsApp Image 2022 12 05 at 2.38.41 PM

Rais Samia ataja changamoto maendeleo ya wanawake

Rais Samia Suluhu Hassan amesema maendeleo ya wanawake yamekuwa yakiathiriwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kukosa rasilimali, kutengwa, kutopata haki na kutopewa nafasi katika kufanya maamuzi. Rais Samia ameyasema hayo katika Kongamano la Wanawake Vijana wa Mtandao wa Viongozi Wanawake Barani Afrika (African Women Leaders Network – AWLN) uliofanyika Zanzibar Desemba 2 hadi 4, 2022. Amesema…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 11 25 at 2.39.07 PM

Kampuni za bima zitakazoshindwa kulipa fidia kufutiwa leseni

Serikali imeiagiza Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (TIRA) kuzichukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kuzifutia leseni za kufanyabiashara nchini kampuni za Bima kuwalipa wateja wao fidia za majanga kwa wakati na kwa kuzingatia thamani halisi ya mali zilizokatiwa bima. Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande, ametoa maagizo hayo alipotembelea na kukagua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks