weweee

Ndege 4 kuwasili ifikapo 2024

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema ndege nne zinatarajiwa kuwasili nchini ifikapo Februari, 2024. Prof Mbarawa amesema hayo wakati akiwasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ya Wizara hiyo. “Miongoni mwa maeneo muhimu ambayo Serikali imeendelea kutekeleza katika uimarishaji wa ATCL ni pamoja na kuendelea…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 05 23 at 13.22.54

Kamati ya Waziri Mkuu yaanza kukusanya maoni ya wafanyabiashara

Kamati maalum ya kutatua changamoto za wafanyabiashara nchini iliyoundwa na Waziri Waziri Mkuu Kassim Majaliwa imeanza kukusanya maoni ya wafanyabishara kutoka sekta mbali mbali jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo inaundwa na wajumbe 14 ambapo wajumbe saba ni wawakilishi wa wafanyabiashara nchini na wajumbe wengine ni kutoka Wizara na Taasisi mbali mbali zinazohusika na biashara…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 05 10 at 16.04.23

TanTrade, GIZ kuwezesha wafanyabiashara mipakani

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) na Shirika la GIZ zimekubaliana kushirikiana katika uwezeshaji wa Sekta ya biashara hususan kwenye eneo la wafanyabishara wanawake na vijana wanaovuka mipaka. Aidha, eneo lingine taasisi hizo mbili zimeonesha nia ya kushirikiana ni eneo muhimu la taarifa za biashara na kurahisisha wafanyabiashara kuzipata kwa njia rahisi. Kaimu Mkurugenzi…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 05 09 at 12.10.49

Tanzania yaishukuru Sweden

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba ameishukuru Sweden kwa misaada mbalimbali iliyoweka alama chanya katika maendeleo ya kiuchumi katika sekta ya nishati, elimu na masuala ya demokrasia. Amesema hayo jijini Dodoma, wakati wa mkutano wake na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Charlotta Ozaki Macias, ulioangazia ushirikiano wa maendeleo kati ya nchi hizo mbili….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 05 02 at 13.57.54 1

Wafanyakazi wachekelea nyongeza mishahara

Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amerudisha nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa kila mwaka iliyokuwa imeondolewa miaka saba iliyopita. “Mambo ni moto, mambo ni fire” alisikika Rais Samia wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Dunia Meimosi mkoani Morogoro. “Niseme pia, kuna nyongeza za mishahara za mwaka, ambazo kwa muda mrefu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks