Kampuni za India kushiriki Sabasaba 2023
Ubalozi wa India nchini Tanzania umeendelea na maandalizi ya kuratibu washiriki kutoka nchini India katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa (DITF) ya 47. Afisa Ubalozi wa India Nchini Tanzania Narender Kumar amesema mpaka sasa makampuni 35 kutoka Jimbo la Haryana yamethibitisha kushiriki. Narender amesema kuwa Makampuni hayo pia yatapenda kupata wabia wa biashara katika sekta…
