Sijapendezwa na vibanda nilivyoviona bandarini: Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya upanuzi wa bandari ndogo ya Ujiji na Kibirizi mkoani Kigoma. Samia ameweka jiwe hilo la msingi Oktoba 18, 2022 ikiwa ni muendelezo wa ziara yake mkoani humo ambapo tayari amefanya shughuli mbalimbali ikiwemo uzimaji wa majenereta baada ya Kigoma kuunganishwa na gridi ya Taifa….
