WhatsApp Image 2022 09 30 at 5.01.22 PM

Tanzania kukopeshwa bilioni 979

Tanzania imeahidiwa kupewa mkopo nafuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kutoa katika mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu. Miongoni mwa miradi itakayonufaika ni mradi wa umeme wa Benaco-Kyaka mkoani Kagera na ujenzi wa makazi ya watumishi ya gharama nafuu Zanzibar, inayokadiriwa kugharimu dola za Marekani milioni…

Soma Zaidi
TT

Japan kununua kilo milioni 30 za tumbaku

Kampuni ya Japan Tobacco Incorporation (JTI) imeahidi kununua kilo milioni 30 za tumbaku kutoka kwa wakulima wa Tanzania katika msimu ujao wa kilimo. Ahadi hiyo na Rais na Mtendaji Mkuu wa JTI, Bw. Masamichi Terabatake mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyetembelea ofisi zao ili kuwahakikishia utekelezaji wa mazungumzo yaliyofanyika wakati wa mkutano wa TICAD…

Soma Zaidi
Usione aibu kufanya biashara ya halali inayokuingizia kipato umaskini ni aibu kubwa zaidi. 34

Taasisi 50 kushiriki kongamano la biashara

Takribani Taasisi 50 zinatarajiwa kushiriki Kongamano la Biashara la Kimataifa  lililoandaliwa na Jukwaa lijulikanalo kama ‘China Trade Week’ (CTW) na kuwahusisha wafanyabiashara mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Kongamano hilo litakalohusisha maonesho zaidi ya bidhaa 200, litafanyika  Septemba 26 hadi 28 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Bidhaa hizo ni pamoja na bidhaa za kielektroniki,…

Soma Zaidi
aza

Tizameni makato ya benki, kampuni za simu: Zungu

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azzan Zungu amewataka wananchi kuangalia tozo wanazokatwa na mabenki na makampuni ya simu badala ya kulalamikia makato ya serikali. Akizungumza Bungeni Septemba 21, 2022, Zungu amesema “mimi niwaombe wananchi pamoja na sisi wabunge, unapotuma pesa tizama breakdown(mchanganuo)  ya pesa inavyoandikwa, utaona tozo ya serikali ipo chini sana na…

Soma Zaidi
kkk

Hakuna kiwanda kitakachofungwa: Waziri Kijaji

Waziri wa Uwekezaji , Viwanda na Biashara , Dk Ashatu Kijaji amesema serikali imedhamiria kuona viwanda vyote nchini vinafanya kazi kwa siku zote saba za wiki. Ameongeza kuwa hakuna kiwanda kitakachofungwa kwa kushindwa kujiendesha kutokana na masharti ya uwekezaji au kukosa masoko ya bidhaa wanazozalisha. Dk Kijaji amesema hayo alipotembelea kiwanda cha 21 st Century Textile LTD kilichopo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks