WhatsApp Image 2023 08 14 at 13.04.20

Maonesho ya chakula ya nchi za Asia kuunganishwa na nanenane

Serikali imewaalika waandaji wa Mkutano na Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Chakula (International Agri Food Conference and Exhibition) kujadiliana namna ya kurasimisha shughuli hizo ili ziendane na maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane yanayofanyika nchini kila mwaka. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameyasema hayo Agosti 2023, wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo, jijini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 02 at 15.25.03

Sekondari zashauriwa kuanzisha klabu za historia

Shule za Sekondari nchini zimeshauriwa kuanzisha klabu za Historia kwa ajili ya kujenga uelewa kwa wanafunzi juu ya historia ya nchi yao na uzalendo. Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Malikale nchini Dkt. Kristowaja Ntandu alipotembelea Mnara wa Kumbukumbu ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Moringe Sokoine na kukutana na uongozi wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks