TANZANIA,KOREA KUSINI KUSHIRIKIANA MRADI WA BIL 40
Sekta ya madini nchini Tanzania imeingia katika kurasa nyingine katika jitihada za kuhakikisha rasilimali za nchi zinawanufaisha Watanzania kwa usahihi na tija. Serikali ya Tanzania imetangaza kuanzishwa kwa kituo cha kisasa kitakachozingatia Teknolojia ya Madini Muhimu. Hatua hii ni sehemu ya mkakati mpana wa “Madini Vision 2030” unaolenga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha madini mkakati…
