Pesa Tu Social Media Post 2025 56

TTFL 2026 KUFUNGUA FURSA ZA BIASHARA TANZANIA,DUBAI

TTFL 2026 Kufungua Fursa za Biashara Tanzania na Dubai.Sekta ya usafirishaji na biashara nchini Tanzania inatarajiwa kupata msukumo mpya kufuatia maandalizi ya Kongamano kabambe la Kimataifa linalolenga kuunganisha masoko ya Afrika Mashariki na Mataifa ya Kiarabu. Taasisi ya Tanzania Freight Forwarders Representation in Dubai (TANFORD) imetangaza rasmi kuandaa kongamano la siku mbili litakalofanyika jijini Dubai,…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 51

SERIKALI YATAMBUA MCHANGO WA KAMAL GROUP KIVIWANDA

Serikali yatambua mchango wa Kamal Group kiviwanda.Sekta ya viwanda nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa katika kipindi hiki ambacho Serikali ya Awamu ya Sita imeweka msisitizo wa dhati katika kuimarisha uchumi wa viwanda. Katika hatua ya hivi karibuni ya kuonyesha utayari wa Serikali kusaidia sekta binafsi, Waziri wa Viwanda na Biashara,Judith Kapinga, amefanya ziara ya…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 49

TANTRADE KUIFANYA Z’BAR KUWA DUBAI YA AFRIKA

Tantrade kuifanya Z’bar kuwa Dubai ya Afrika.Katika harakati za kuimarisha uchumi wa viwanda na kukuza biashara za ndani, Serikali imedhamiria kwa dhati kufungua milango ya kibiashara duniani. Hivi karibuni, Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ametoa mwelekeo mpya unaolenga kubadilisha namna watanzania wanavyozitazama fursa za biashara na uwekezaji Tanzania. Akizungumza jijini…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 47

TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA UINGEREZA

Tanzania yafungua milango kwa wawekezaji wa Uingereza.Katika hali inayozidi kuimarisha diplomasia ya kiuchumi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametoa rai kwa jumuiya ya kimataifa akisisitiza kuwa fursa za uwekezaji Tanzania ni salama na zenye tija kuliko wakati wowote. Akizungumza jijini London nchini Uingereza, Prof. Mkumbo amebainisha kuwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks