Bajeti ya mafanikio, namna ya kusimamia mapato na matumizi pesatu.co.tz

Bajeti ya mafanikio, namna ya kusimamia mapato na matumizi

Bajeti ya mafanikioa hubadili msongo wa mawazo kifedha kuwa udhibiti wa kifedha. Hapa Tanzania, ambako gharama za maisha zinabana kaya nyingi, mpango wa wazi wa mapato na matumizi unaweza kuwa tofauti kati ya uthabiti na shida. Bajeti si adhabu. Ni ramani inayoonyesha fedha zinaelekea wapi na kama chaguo hizo zinaendana na vipaumbele vya familia. Anza…

Soma Zaidi
Tanzania, Oman zadhamiria kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji pesatu.co.tz

Tanzania, Oman zadhamiria kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji

Tanzania na Oman zimekutana kujadili kuongeza wigo wa ushirikiano katika biashara na uchumi kupitia Jukwaa la Biashara. Jukwaa hilo lililowakutanisha wafanyabiashara na wadau wa uwekezaji na biashara kutoka Tanzania na Oman limefanyika jijini Dar es Salaam, Oktoba 6, 2025 na kufunguliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Wizara ya Mambo ya Nje na…

Soma Zaidi
Tanzania, Kenya kufanya mazungumzo kesho juu ya katazo la biashara pesatu.co.tz

Tanzania, Kenya kufanya mazungumzo kesho juu ya katazo la biashara

Nchi za Tanzania na Kenya zinatarajia kufanya mazungumzo juu ya katazo la biashara ndogo ndogo lililowekwa na Tanzania kwa wafanyabiashara wa kigeni. Katibu wa Baraza la Mawaziri, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Beatrice Askul aliiambia Kamati ya Bunge ya Ulinzi, Ujasusi na Mambo ya Nje Bunge kuwa kikosi cha wataalamu kipo Tanzania kujadiliana kuhusu kuondolewa kwa katazo hilo….

Soma Zaidi
Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki

Unaweza usiamini lakini inawezekana, usiichukulie poa. Chupa za plastiki ni fursa ya biashara kama zilivyo biashara zingine. Biashara ya makopo ni biashara kama biashara zingine. Watu wengi wanaofanya kazi ya kuokota makopo huonekana kama wamechanganyikiwa kutokana na muonekano wa baadhi yao, wengi wakionekana wachafu. Usichokijua ni kwamba biashara hii ina uwezo wa kukupatia kipato cha…

Soma Zaidi
Elewa mambo ya msingi juu ya elimu ya fedha Tanzania pesatu.co.tz

Elewa mambo ya msingi juu ya elimu ya fedha Tanzania

Elimu ya fedha ni moja ya nyenzo zenye nguvu zaidi kwa kujenga uthabiti wa kifedha Tanzania. Kwa familia nyingi, changamoto si kupata kipato pekee bali kujua jinsi ya kukitumia kwa busara. Nchini kote, wafanyakazi, wanafunzi, wakulima, na wajasiriamali hujiuliza maswali yanayofanana. Ninawezaje kufanya kipato kidumu, ninawezaje kuweka akiba, na nichukue hatua gani kuhakikisha usalama wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks