WhatsApp Image 2024 02 19 at 10.42.04

Ukuaji kilimo kufika 10% ifikapo 2030

Serikali inaendelea na utekelezaji wa mipango na mikakati mbalimbali ya kuendeleza Sekta ya Kilimo nchini ikiwemo Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5), (FYDP III) na Ajenda 10/30 ambayo inalenga kuchochea ukuaji wa kilimo kufikia asimilia 10 ifikapo mwaka 2030. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema hayo Februari 16, 2024 bungeni jijini Dodoma. Amesema…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 20 at 15.00.02

Serikali kujishughulisha na kilimo cha muda mfupi kudhibiti dola

Katika jitihada za kudhibiti dola Serikali ya Tanzania imesema inajishughulisha na kilimo hasa cha muda mfupi ambacho kinazalisha mazao kwa haraka. Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa wazalishaji bora (President’s Manufacturer of the year Awards – PMAYA) katika ukumbi wa Super Dome, Masaki. Ameeleza kuwa mbali…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks