Pesa Tu Social Media Post 2025 38

MIAKA 10 BILA MABADILIKO YA BEI YA UMEME TANZANIA

Miaka 10 bila Mabadiliko ya bei ya umeme Tanzania.Katika kipindi ambacho uchumi wa dunia umekuwa ukikabiliwa na mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali,kwani gharama za umeme Tanzania zimebaki kuwa thabiti na nafuu kwa kipindi cha muongo mmoja sasa. Hii ni hatua ya kimkakati inayolenga kumlinda mwananchi wa hali ya chini na kukuza viwanda. Mnamo Januari…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks