WhatsApp Image 2023 07 03 at 15.00.14

Watunzi wa filamu wanolewa

Takriban watunzi 37 wa filamu kutoka Tanzania bara na Zanzibar wamepata mafunzo kwa lengo la kuinuka na kukuza sanaa ya filamu. Mafunzo hayo yamefanyika katika hoteli ya Serena mjini Unguja yameandaliwa na Multichoice Talent Factory kwa kushirikiana na Zanzibar International Film Festival (ZIFF). Akizungunza na waandishi wa habari Mkurungenzi wa Multichoice Africa Nwabisa Matyunza amesema…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 03 10 at 12.10.23

TEHEMA kuboresha ukusanyaji kodi

Serikali ya Estonia imeahidi kuisaidia Tanzania kuboresha mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ya ukusanyaji kodi. Hatua hiyo itasaidia kupiga hatua zaidi katika masuala ya usimazi wa kodi na kuongeza uwazi na uwajibikaji. Ahadi hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Masuala ya Uchumi na Maendeleo wa Estonia, Mariin Ratnik, katika mazungumzo na Waziri…

Soma Zaidi
QW

Serikali kujenga chuo cha TEHAMA Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Jamhuri ya Korea imekubali kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasilino (Tehama) nchini Tanzania. Majaliwa amesema lengo la chuo hicho ni kuwasaidia vijana kuendeleza ubunifu wao na kuonesha namna wanavyoweza kuunda vifaa mbalimbali. Amesema hayo Oktoba 27, 2022 baada…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks