WhatsApp Image 2023 11 20 at 10.43.51

Serikali yawataka wahitimu kuwa waadilifu kazini

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imewataka wahitimu wa Chuo cha Viwanda vya Misitu Moshi (FITI)kutumia elimu waliyoipata kuwa waadilifu, wazalendo, kusimamia uhifadhi pamoja na matumizi endelevu ya misitu. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mafunzo na Utafiti, Dkt. Edward Kohi kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbas wakati…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 09 at 11.36.31

Vijana 20 wapata ufadhili wa Rais Samia

Chuo cha Utalii kimepongezwa kwa kupokea vijana 20 kwa ajili ya kusomea masuala ya Utalii na ukarimu kupitia ufadhili wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Mashaka Biteko wakati akifungua Kongamano la uwekezaji la Wilaya ya Pangani katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 02 at 15.25.03

Sekondari zashauriwa kuanzisha klabu za historia

Shule za Sekondari nchini zimeshauriwa kuanzisha klabu za Historia kwa ajili ya kujenga uelewa kwa wanafunzi juu ya historia ya nchi yao na uzalendo. Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Malikale nchini Dkt. Kristowaja Ntandu alipotembelea Mnara wa Kumbukumbu ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Moringe Sokoine na kukutana na uongozi wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks