Tanzania kuendelea kuboresha miundombinu ya elimu
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Zainabu Katimba amsema serikali inatambua umuhimu na itaendelea kuboresha miundombinu ya Elimu ikiwemo Mabweni ya wanafunzi, uzio, majengo ya utawala na mabwalo kupitia miradi mbalimbali. Katimba amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha Maswali na Majibu, wakati akijibu…
