Jinsi ya Kuimarisha Malipo ya Uwekezaji Tanzania: Mkakati wa Kusawazisha Hatari na Faida | pesatu.co.tz

Jinsi ya Kuimarisha Malipo ya Uwekezaji Tanzania: Mkakati wa Kusawazisha Hatari na Faida

Jinsi ya Kuimarisha Malipo ya Uwekezaji Tanzania: Mkakati wa Kusawazisha Hatari na Faida   Kila uwekezaji unakuja na kiwango fulani cha kutotabirika, lakini si hatari zote zina uzito sawa. Kimsingi, siri ya kuimarisha malipo ya uwekezaji Tanzania inalala katika kusawazisha kwa busara hatari na faida. Wawekezaji wenye busara hufanya hivi ili matokeo mabaya yasivuruge mpango…

Soma Zaidi
Safari zarejea SGR - TRC | pesatu.co.tz

Safari zarejea SGR-TRC

Safiri kwa Amani: safari zarejea SGR-TRC Yathibitisha Kuanza Tena kwa Huduma Baada ya Hitilafu Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa iliyopokewa kwa furaha na mamia ya wasafiri na Watanzania kwa ujumla, ikithibitisha kurejea kwa huduma za treni za kisasa za Standard Gauge Railway (SGR). Hatua hii inafuatia usitishaji wa muda mfupi wa safari uliofanywa…

Soma Zaidi
Aina za Uwekezaji Tanzania: Hisa, Hati Fungani za Serikali, na Mali Isiyohamishika | pesatu.co.tz

Aina za Uwekezaji Tanzania: Hisa, Hati Fungani za Serikali, na Mali Isiyohamishika

Aina za Uwekezaji Tanzania: Mwongozo wa Kina na Chaguo Unazopaswa Kujua Uwekezaji nchini Tanzania kwa ujumla hugawanyika katika makundi makuu matatu yanayofahamika sana, ambayo huunda msingi wa fursa nyingi za kifedha. Aina za uwekezaji Tanzania zinazojulikana zaidi ni: Hisa za kampuni zilizo kwenye orodha, hati fungani za serikali, na mali isiyohamishika. Kila moja ya njia…

Soma Zaidi
Tanzania, Oman zadhamiria kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji pesatu.co.tz

Tanzania, Oman zadhamiria kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji

Tanzania na Oman zimekutana kujadili kuongeza wigo wa ushirikiano katika biashara na uchumi kupitia Jukwaa la Biashara. Jukwaa hilo lililowakutanisha wafanyabiashara na wadau wa uwekezaji na biashara kutoka Tanzania na Oman limefanyika jijini Dar es Salaam, Oktoba 6, 2025 na kufunguliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Wizara ya Mambo ya Nje na…

Soma Zaidi
Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki

Unaweza usiamini lakini inawezekana, usiichukulie poa. Chupa za plastiki ni fursa ya biashara kama zilivyo biashara zingine. Biashara ya makopo ni biashara kama biashara zingine. Watu wengi wanaofanya kazi ya kuokota makopo huonekana kama wamechanganyikiwa kutokana na muonekano wa baadhi yao, wengi wakionekana wachafu. Usichokijua ni kwamba biashara hii ina uwezo wa kukupatia kipato cha…

Soma Zaidi
Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu pesatu.com

Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu

Uuzaji wa miwani kiholela umeshamiri katika maeneo mengi nchini husasani mijini. Miwani hizo nyingi zikiwa ni zile zinazotajwa kuwa ni miwani za urembo. Mbali na kumsababishia madhara mtumiaji anayetumia miwani pasipo kuipima na kupima macho yake, pia mtu yeyote anayejihusisha na biashara ya miwani anatakiwa azingatie sheria ya Optometria sura namba 23 ikiwemo kusajiliwa katika…

Soma Zaidi
Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri pesatu.com

Fahamu jinsi ya kukuza biashara ndogo

Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri, kuitangaza, usimamizi wa fedha, na kuzingatia wateja wako. Weka malengo na mpango yako Weka malengo mahususi (yaliyo wazi, yanayoweza kupimika na yanayowezekana. Hapa usiweke malengo ya vitu ambavyo havitaweza kutokea. Jua kile unachofanya na kiwe kinakutofautisha na wafanyabiashara wengine, weka sababu kwa nini wateja wanunue kwako na sio kwa wafanya biashara…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks