Zanzibar

Royal tour Zanzibar

Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa filamu inayoeleza utalii wa Tanzania ya Royal Tour. Filamu hiyo itazinduliwa Zanzibar Mei 07, 2022 jioni kwenye hotel ya Golden Tulip. Katibu Mkuu wizara ya Sanaa Dk. Hassan Abass “historia inaenda kuandikwa hapa Zanzibar, hii ndio Royal Tour ya kipekee duniani kushiriki viongozi…

Soma Zaidi
nnnnn

Mteja ni mfalme: Waziri wa utalii

Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa sekta ya utalii pamoja na kuendelea kuboresha  huduma za kitalii. Huduma hizo ni pamoja na upatikanaji wa leseni ya shughuli za utalii kwa uharaka zaidi na mifumo ya malazi. Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Damas Ndumbaro amesema hayo jijini Dares Salaam wakati akikabidhi vyeti kwa…

Soma Zaidi

Biashara za mtaji mdogo, suluhisho la vijana kujiajiri

Wakati sera kuu ya Tanzania ni vijana na wanawake kujiajiri, upatikanaji mgumu wa mtaji unazuia maendeleo. Serikali imefanya mengi ili kuongeza upatikanaji wa mtaji kwa makundi maalum kama wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, hata hivyo mengi zaidi yanahitajika kufanywa. Hadi sasa, serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania imerahisisha mahitaji ya ukopaji kwenye mabenki na…

Soma Zaidi
mmmm

Waziri Nape: kama unaamini umeibiwa kifurushi leta ushahidi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwamba uchunguzi uliofanya na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) umebaini kuwa hakuna wizi wa vifurushi vya mawasiliano ya simu unaofanywa. Waziri Nape amesema, kuna changamoto mbili kubwa kwenye matumizi ya simu janja ambapo, kwanza, mtumiaji anaweza kujiunga kifurushi cha intaneti, licha ya kuwa hatumii…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks