WhatsApp Image 2023 04 07 at 16.26.46

Tunaendelea kuboresha mazingira ya biashara: Serikali

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru, amewahakikishia wafanyabiashara na makampuni binafsi kwamba Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya biashara nchini ili kuwawezesha kuendelea kuwekeza na kukuza uchumi wa nchi. Mafuru ametoa ahadi hiyo wakati wa mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC) Takashi Araki. Amesema Sekta Binafsi ina imani…

Soma Zaidi
cant

Kushiriki maonesho China Dola 3,000

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imetangaza fursa kwa wafanyabiashara wa Tanzania wanaotaka kushiriki Maonesho makubwa ya Kimataifa ya biashara nchini China yajulikanayo kama Canton Fair. Kwa mujibu wa TanTrade gharama za kushiriki ni Dola za Marekani 3,000 kwa kila mshiriki. Gharama hizo zitahusisha usafiri wa ndege daraja la uchumi, usafiri wa ndani (ground…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 03 10 at 14.43.55

Watanzania watakiwa kuchangamkia  fursa soko la Malawi

Mamlaka ya Maendeleo ya biashara Tanzania (TanTrade) 9Machi 2023 imeratibu mkutano Kwa njia ya Teknolojia ya Mtandao baina kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi wenye lengo la kujadili fursa za kibiashara zilizopo kati ya Tanzania na nchi ya Malawi. Mkutano huo umeshirikisha Taasisi mbalimbali za serikali pamoja na Wafanyabiashara. Akizungumza katika mkutano huo,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks