Serikali: hatujazuia biashara mazao ya misitu
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema haijazuia biashara ya mazao ya misitu. Imewataka wafanyabiashara wa mazao ya misitu kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa ili kuhakikisha kuna kuwa na usawa katika biashara hiyo pamoja na matumizi endelevu ya rasilimali hiyo. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) ameyasema hayo Bungeni jijini…
