USHIRIKISHWAJI WA WAZAWA KATIKA SEKTA YA MADINI
Katika hatua kubwa ya kimkakati inayolenga kubadilisha sura ya uchumi wa mataifa ya Afrika, nchi za Tanzania na Ghana zimeingia katika ushirikiano mzito wa kitaasisi. Lengo kuu la ushirikiano huo ni kuimarisha utekelezaji wa sera za ushirikishwaji wa wazawa katika sekta ya madini (Local Content), ili kuhakikisha kuwa rasilimali zinazochimbwa zinawanufaisha wananchi wa nchi hizo…
