sss

Msitoroshe madini: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wachimbaji wadogo wawe wazalendo kwa kuacha kutorosha madini. Rais Samia amesema hayo wakati wa utiaji saini kati ya serikali na kampuni tatu za madini kutoka Australia Chamwino Dodoma April 17, 2023. “Niwaombe sana wachimbaji wadogo sasa ule utoroshaji hebu tuwe wazalendo zaidi. Tuna viwanda ndani vya kuchakata madini,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 03 17 at 11.46.35

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

Serikali ya Tanzania na Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) wamesaini mikataba ya mkopo yenye masharti nafuu ya dola za Marekani milioni 161.47 na euro milioni 110, mtawalia, sawa na shilingi 647.5bn. Mkopo huo utawanufaisha wakazi wa Mkoa wa Kagera kuondokana na changamoto ya kukosa umeme wa uhakika. Mikataba…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 03 08 at 13.42.52

Ufaransa kuisaidia Tanzania ujenzi wa miundombinu

Ufaransa imesema ipo tayari kusaidiana na Tanzania katika ujenzi wa bandari itakayohudumia Tanzania na nchi jirani. Waziri wa Maendeleo na Ushirikiano wa Kimataifa wa Ufaransa, Chrysoula Zacharopoulou amesema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba. “Ufaransa ipo tayari pia kutusaidia kukuza sekta binafsi ambayo imekuwa ikitoa ajira nyingi kwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 02 17 at 18.25.40

Huduma za TEHAMA kusaidia kukabiliana na majanga

Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeandaa rasimu ya Mpango Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano wakati wa Majanga ili kusaidia katika kujiandaa, kugundua na kukabiliana nayo. Rasimu hiyo itasaidia kuzuia au kupunguza athari na maafa yanayoweza kutokea na kugharimu maisha, uharibifu wa rasilimali na miundombinu ya nchi. Hayo yamebainishwa Februari 16, 2023 jijini Dodoma…

Soma Zaidi
ass

Ndege tano kuwasili mwaka huu

Ndege mpya tano zilizonunuliwa na serikali zinatarajiwa kuwasili nchini mwaka huu 2023, ili kuendelea kuimarisha zaidi Shirika la Ndege (ATCL). Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amebainisha hayo jijini Dodoma, akizungumza na waandishi wa habari. Msigwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, imedhamiria kuimarisha shirika hilo la ndege na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks