Tanzania yawa ya pili kukabiliana na athari za mabadiliko tabianchi
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia (WB) zimeitangaza Tanzania kuwa nchi ya pili, baada ya Madagascar, kunufaika na Mfumo wa Ushirikiano wa Kuimarisha Hali ya Hewa kwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na athari mbaya za uharibifu wa mazingira. Kupitia Mfumo huo, IMF na WBG watafanya kazi kwa karibu na washirika…
