Serikali kuendelea kuziwezesha benki za kijamii
Serikali imeeleza kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendelea kuweka mazingira bora ya kisera na kimfumo ili kuziwezesha benki za biashara na za kijamii (Community Banks) kukua na kushamiri, ikiwemo Benki ya Mucoba. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Hamad Chande wakati akijibu swali la Mbunge wa Iringa Mjini Jesca Msambatavangu,…
