BoT yatoa kanuni mpya maduka ya kubadili fedha
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa kanuni za maduka ya kubadilisha fedha za kigeni za mwaka 2023 ambazo zimeweka madaraja matatu ya leseni za biashara ya kubadilisha fedha za kigeni nchini. Taarifa ya BoT inasema imeweka madaraja hayo ambayo ni daraja A, B na C chini ya Sheria ya Fedha za Kigeni (Sura namba 271)….
