Hoteli za kitalii kutoa huduma ya kubadili fedha za kigeni
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amewahimiza wamiliki na waendeshaji wa hoteli za kitalii nchini kuanza kutoa huduma ya kubadilisha fedha za kigeni ili kupunguza ubadilishaji holela wa fedha hizo. Tutuba amesema hayo katika mkutano na wamiliki pamoja na waendeshaji wa hoteli zinazopokea watalii nchini uliofanyika katika ofisi za Makao Makuu Ndogo…
