ass

Ndege tano kuwasili mwaka huu

Ndege mpya tano zilizonunuliwa na serikali zinatarajiwa kuwasili nchini mwaka huu 2023, ili kuendelea kuimarisha zaidi Shirika la Ndege (ATCL). Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amebainisha hayo jijini Dodoma, akizungumza na waandishi wa habari. Msigwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, imedhamiria kuimarisha shirika hilo la ndege na…

Soma Zaidi
rrr

Chuo Kikuu kione aibu wahitimu wakichoma mahindi barabarani: Rais Ruto

Rais wa Kenya William Ruto amevitaka vyuo nchini humo kuzalisha wahitumu wanaoajirika. Amesema wanaangalia namna ya kuboresha kozi na aina ya ufundishaji katika vyuo na ubora wa wahitimu wanaozalishwa na vyuo husika. Rais Ruto amevitaka vyuo nchini humu kuboresha ufundishaji na kusema kama wanatumia pesa za umma, umma unatakiwa upate thamani kwa kila Shilingi ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks