Uzalishaji muhogo ni tani 8.6 badala ya tani 30 kwa hekta
Imeelezwa kuwa uzalishaji wa muhogo nchini ni tani 8.6 badala ya tani 30 kwa hekta ambacho ndicho kiwango cha uzalishaji wenye tija. Uzalishaji mdogo katika mazao ya muhogo na viazi vitamu umekuwa ni kichocheo kwa watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kutumia teknolojia zitakazowezesha kuharakisha uzalishaji wa mbegu bora zinazostahimili mashambulizi ya…
