RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA MABORESHO YA KODI
Katika hatua inayotajwa kuwa ni mwanzo wa mapinduzi mapya ya kiuchumi nchini, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi nchini. Hafla hiyo iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, imeweka bayana dhamira ya serikali ya awamu ya sita katika kutatua kero za muda mrefu zinazowakabili…
