WhatsApp Image 2023 12 22 at 16.04.01

Miradi ya “REGROW” Ruaha italeta watalii Kusini Dkt. Abbasi

Utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) utakuwa chachu ya kuongeza idadi kubwa ya watalii katika Hifadhi za maeneo hayo. Hivyo watekelezaji wa miradi hiyo wametakiwa kuhakikisha wanafanya kazi kwa umakini, kwa kasi inayohitajika na kwa kiwango cha juu ili ujenzi wa miundombinu yote ikamilike kwa wakati….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 22 at 14.15.15

Sheria ya majengo muarobaini wa gharama za ujenzi nchini

Imeelezwa kuwa kukosekana na sheria moja inayosimamia shughuli za ujenzi wa majengo imekuwa chanzo cha kusababisha gharama kubwa za ujenzi nchini. Mhandisi Ujenzi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Geofrey Mwakasenga, amesema katika kukabiliana na hali hiyo tayari baraza hilo limekamilisha mchakato wa kuandaa andiko linaloainisha umuhimu wa Sekta ya Ujenzi na hivyo kuwezesha…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 20 at 15.00.02

Serikali kujishughulisha na kilimo cha muda mfupi kudhibiti dola

Katika jitihada za kudhibiti dola Serikali ya Tanzania imesema inajishughulisha na kilimo hasa cha muda mfupi ambacho kinazalisha mazao kwa haraka. Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa wazalishaji bora (President’s Manufacturer of the year Awards – PMAYA) katika ukumbi wa Super Dome, Masaki. Ameeleza kuwa mbali…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 18 at 11.37.42

Tanzania yaunda Taasisi kushughulikia malalamiko baina ya walipa na watoza kodi

Ofisi ya Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), imewahakikishia walipakodi nchini kuwa itashughulikia malalamiko ya wafanyabiashara yanayohusiana na kodi kwa haki na usawa ili kuchochea ulipaji kodi kwa hiyari. Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi Robert Manyama ameleza hayo alipokutana na wadau wa kodi jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Kimataifa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 15 at 13.57.14

Msichimbie fedha ndani: Waziri Dkt Nchemba

Watanzania wametakiwa kutumia benki kuhifadhi fedha zao ili kuhakikisha usalama wa fedha hizo na usalama wao na kuacha tabia ya kuhifadhi fedha majumbani. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema hayo jijini Dodoma wakati akizundua Tawi la Benki ya watu wa Zanzibar (PBZ) kwa niaba ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Dkt. Nchemba…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks