Tanzania yasaini mkataba mpya wa ubia na nchi za OACPS, EU
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini Mkataba Mpya wa Ubia baina yake na Nchi Wanachama wa Caribbean, Afrika na Pacific (OACPS) kwa upande mmoja na Umoja wa Ulaya (EU) na Nchi Wanachama wake, kwa upande mwingine. Mkataba huo umesainiwa na Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Jestas Abuok Nyamanga kwa niaba ya Serikali ya…
