TANZANIA YAFUNGUA MILANGO SWEDEN STOCKHOLM
Tanzania yafungua milango Sweden Stockholm . Katika jitihada za kuendeleza diplomasia ya uchumi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuchanja mbuga barani Ulaya kwa kuonyesha fursa za uwekezaji Tanzania ambazo hazijaguswa. Hivi karibuni, Balozi wa Tanzania nchini Sweden,Mobhare Matinyi, ameongoza ujumbe wa kimkakati katika kikao kizito na wafanyabiashara pamoja na wawekezaji kutoka Chama cha Wafanyabiashara…
