TRA YATOA UTARATIBU MPYA UINGIZAJI MAFUTA YA KULA
TRA yatoa utaratibu mpya uingizaji mafuta ya kula. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa utekelezaji wa utaratibu mpya wa kuingiza mafuta ya kula nchini, hatua inayolenga kurahisisha biashara kati ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mabadiliko haya yanakuja kama sehemu ya mikakati ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais…
