MWINYI AKAZA MSIMAMO BEI ZA BIDHAA WAKATI WA RAMADHAN
Mwinyi akaza msimamo bei za bidhaa wakati wa Ramadhan.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa kauli nzito na ya faraja kwa wananchi kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhan. Katika ujumbe wake kwa Taifa, Rais amesisitiza kuwa mwezi huu wa ibada haupaswi kutumika kama mwanya wa kuumiza walaji. Jambo…
