Serikali ya Tanzania yaagiza mradi wa Kabanga Nickel kutekelezwa kwa wakati
Serikali imeiagiza Kampuni ya ya uchimbaji wa Madini ya Tembo Nickel Corporation LTD kuhakikisha inatekeleza kwa wakati mradi wa Kabanga Nickel ambao unalenga uchimbaji wa Madini ya Nikeli na usafishaji wa madini hayo hapa nchini. Maagizo hayo yametolewa Machi 17, 2025, Jijini Dodoma na Waziri wa Madini Anthony Mavunde wakati wa wasilisho kuhusu maendeleo ya…
